.

Jumatatu, 6 Oktoba 2014

UTAPELI MZITO: WABONGO WALIZWA 'MIKOPO YA OBAMA, JK'

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa Rais Barack Obama wa Marekani . Stori: Harun Sanchawa na Hamida Hassan Utapeli mzito umeshamiri Bongo ambapo imebainika kuna taasisi iliyojipachika jina la Tanzania Loan Society inayojieleza kuwa inafadhiliwa na Serikali ya Tanzania kwa ushirikiano wa Serikali ya Marekani huku ikiwarubuni watu kuwa inatoa mikopo bila riba. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Jakaya Mrisho Kikwete. Ipo kimtandao zaidi Taasisi...

Stamina aeleza kwanini remix ya ‘Number 1′ ilihit kuliko remix za nyimbo zingine za Bongo

Msanii wa Hip Hop kutoka Morogoro, Resilience ametoa sababu ya nyimbo nyingi za bongo zinazofanyiwa remix kutofanya vizuri hapa nyumbani.Resilience aliitolea mfano remix ya ‘Number One’ ya Diamond na Davido kwa kudai kuwa msanii huyo alijua timing pamoja na thamani ya msanii aliyefanya naye.“Diamond remix yake ilifanya vizuri kwasababu kwanza nyimbo ilikuwa hit, pili alijua kucheza na timing kitu ambacho ni cha umuhimu sana,” Resilience aliambia...

Jumatano, 1 Oktoba 2014

SENTENSI ALIZOZIONGEA MUME WA LADY JAY DEE, GADNER HABASH KWENYE MKASI!

Mtangazaji Gardner G. Habash ni miongoni mwa Watangazaji hodari ambao Tanzania imewahi kuwa nao ambapo alianza kwa kusikika kupitia CloudsFM kwenye shows mbalimbali ikiwemo Jahazi kabla ya kuanza kazi.Wakati huu ambapo kumekua na stori zilizoenea mtaani kuhusu yeye na ndoa yake pia kazi, show ya TV ya Mkasi inayoongozwa na mtangazaji Salama Jabir imepata nafasi Exclusive ya kuongea nae. Zifuatazo hapa chini ni baadhi ya sentensi alizoziongea Captain...

DIAMOND AMTAJA MWIMBAJI KUTOKA TANZANIA ANAYEMKUBALI

Diamond Platnumz amemtaja Vanessa Mdee kama muimbaji anayemkubali zaidi na ambaye anaona atafika mbali zaidi.Akiongea , Diamond amesema hata jukwaani, Vanessa ni msanii anayejituma sana. “Unajua wasanii wa kike wote wa hapa nyumbani ninawakubali ila namkubali sana Vanessa. Na hata nikikutana naye huwa namwambia kuwa ‘Vanessa unanipa imani sana kuwa tuna mwanamuziki wa kikeambaye naona kabisa anabadilika kila siku na anajituma sana hata...

Watu 270 walazwa kwa kunywa togwa

Songea. Watu zaidi ya 270 wa Kijiji cha Litapwasi, Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma wamelazwa wengi wao wakiwa na hali mbaya katika Zahanati ya Lyangweni na Hospitali ya Misheni ya St Joseph, Peramiho baada ya kunywa togwa inayosadikiwa kuwa na sumu. Tukio hilo lilitokea juzi mchana kwenye sherehe ya Kipaimara kwa mtoto Dickson Nungu (14) na kuzua hofu kubwa kwa wakazi wa kijiji hicho ambao wanaonekana kutoamini kilichotokea. Wingi wa wagonjwa...

SHEHE: AUNT EZEKIEL HANA NDOA

Stori: Gladness Mallya na Chande Abdallah SHEIKH Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa ameweka wazi kuwa msanii nyota wa filamu, Aunt Ezekiel ambaye aliolewa na Sunday Demonte hana ndoa kutokana na kukaa mbali na mumewe kwa zaidi ya miezi sita. Sheikh Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa akizungumza jambo. “Hakuna ndoa kati ya mtu yeyote ambaye amezidi miezi 6 bila kukutana na mumewe kwa mujibu wa dini ya kiislamu. ...

HABARI NJEMA ARSENAL, WILSHERE AREJEA MAZOEZINI THE GUNNERS AKIWA SWAAFI KABISA

Jack Wilshere akiwa mazoezini Arsenal Uwanja wa Colney mjini London KIUNGO Jack Wilshere amerejea mazoezini Arsenal leo asubuhi baada ya kupona maumivu aliyoyapata wiki iliyopita. Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger alikuwa kwenye janga la viungo wake kuuima kwa Aaron Ramsey, Mikel Arteta na Wilshere wote kuumia kwenye mechi na Tottenham Jumamosi. Wilshere aliumia enka na kulikuwa kuna wasiwasi amepata madhara makubwa katika sehemu ambayo imekuwa...

Ajali ya gari Mbeya yaua watu watano wa ukoo mmoja

“Baada ya ajali ile baba, mama na watoto wawili walifariki dunia papo hapo, lakini mkuu wa chuo ambaye pia ni ndugu wa marehemu hao na mtoto wake wa darasa la pili walijeruhiwa. Mbeya. Watu watano wa ukoo mmoja wamefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea Songwe, jirani na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe (Sia), Wilaya ya Mbeya Vijijini baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana na lori usiku. Katika ajali hiyo iliyotokea...

Jumanne, 30 Septemba 2014

Jumatano, 10 Septemba 2014

PENNY SASA AMEPATA MBADALA WA DIAMOND

...

WANAFUNZI WAPIGA PICHA ZA UCHI Mdadisi Huru PICHA ZA UCHI

...

Jumatatu, 8 Septemba 2014

MREMBO AJIREKODI VIDEO AKIWA UCHI AKIPIGA PUNYETO KISHA KUPOSTI PICHA ZAKE ZA UCHI INSTAGRAM!

Baada ya ukimya wa muda mchache, msanii wa Injili aliye amua kumrudia shetani awapa mashabiki wake picha nyingine za utupu, angalia mzigo mpya alioutupia Instagram hapa...

PICHA ZA UCHI ZA MKE WA MTU ALIYEVUA NGUO MBELE ZA WATU BAADA YA KUNOGEWA NA MUZIKI

Pichani juu na chini mwanamke mmoja aliyetajwa kwa jina la Mama Abdul akijiachia na kumwaga radhi bila uoga.Ovyooo! Wakati serikali ikipiga marufuku disko la mitaani maarufu kwa jina la ‘Vigodoro’ bado kuna baadhi ya mikoa inapuuza agizo hilo ambapo mwanamke mmoja ambaye mumewe anafanya kazi kwenye mgahawa uliopo ofisi za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani hapa, aliyetajwa kwa jina la Mama Abdul (pichani), amejitoa fahamu kupitia Kigodoro...

SAD NEWS: [PICHAZ] ASKARI POLISI AFARIKI KIUTATA!

Na Suzy Baltazar "Huyu anaitwa Afande John kapata ajali mbaya mpaka kufariki maeneo yaKisarawe huyo yupo pale myfair TRA upande wa leseni za magari (Driving licence) pole kwa jeshi la polisi pia na familia mwenyezi mungu ailaze roho yake pema peponi Amen. Ni kipenzi cha wengi. Taarifa zaidi zitawajia hivi punde, endelea kufuatilia hapa......

WANAWAKE WA NAMNA HII SIO WA KUOA

Ukiona umemtumia mpenzi wako/mchumba wako/mchepuko wako/mke wako au hata rafiki wa kike wakati mwingine SMS ya kawaida tu kwaajili ya kumsalimia lakini yeye akakujibu moja kati ya majibu yafuatayo, tafadhali sana usiendelee kuchat nae maana kinachofuata hapo ni majanga tu. KWA MFANO: 1. Ukimtumia sms ''Mambo mpenzi wangu?'' akikujibu ''mambo mabaya'', usimuulize kwanini mambo mabaya, ukimuuliza atakwambia kuwa ''sina hela dear'' 2. Ukimtumia...