Baada msanii Alikiba na Diamond kuwa na ugomvi
uliotokana na kunyimana Collabo katika kazi zao za Muziki mapya
yameibuka bifu limehamia katika upande wa pili wa maisha yao. Kupitia
ukurasa wa Tweetter Msanii Diamond ametoa post ya kumkejeli msanii
Alikiba:-
DIAMOND: "INASEMEKANA SINGLE BOY AMEJENGA NYUMBA LAKINI KUFIKA JUU
KWENYE RINTA IKABIDI ASTOP NA KUJIUNGA VICOBA WAMEMKOPESHA PESA NDIO
ANAMALIZIA NYUMBA YAKE TABATA HAHAHAHAHAHAHAHAHA."
Baadhi ya Mashabiki upande wa Ali Kiba hawakuonesha kufurahishwa na
alichokiandika Diamond wengi walikwazika sana na kuanza kumtukana baada
ya dakika chache Diamond akafuta ile post Tweetter.
Jumamosi, 21 Juni 2014
BIFU LA ALI KIBA NA DIAMOND SASA LAFIKIA PABAYA
13:53
No comments
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 comments:
Chapisha Maoni