.

Jumatatu, 6 Oktoba 2014

UTAPELI MZITO: WABONGO WALIZWA 'MIKOPO YA OBAMA, JK'



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa Rais Barack Obama wa Marekani .
Stori: Harun Sanchawa na Hamida Hassan
Utapeli mzito umeshamiri Bongo ambapo imebainika kuna taasisi iliyojipachika jina la Tanzania Loan Society inayojieleza kuwa inafadhiliwa na Serikali ya Tanzania kwa ushirikiano wa Serikali ya Marekani huku ikiwarubuni watu kuwa inatoa mikopo bila riba.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Jakaya Mrisho Kikwete. Ipo kimtandao zaidi
Taasisi hiyo iliyoanzishwa muda mrefu ikapotea, sasa imeibuka upya na inawaliza wengi ambapo inaendesha shughuli zake kimtandao na wahusika hutumia utundu kuingilia mawasiliano katika akaunti za watu katika facebook na kuweka ushuhuda kuwa wamiliki wamefanikiwa kupata mkopo bila riba tena kwa masharti rahisi.
Mtandao umegundulikaje?
Mmoja wa wasomaji wa gazeti hili aliyefahamika kwa jina la Lulu, hivi karibuni alileta malalamiko yake akieleza jinsi wahusika wa utapeli huo walivyoingilia mawasiliano yake ya Facebook, wakamlisha maneno kuwa aliomba mkopo wa shilingi milioni 3 baada ya kutoa shilingi 95,000 kwa ajili ya uanachama na akapewa fasta.
Kwenye ukurasa wa Facebook wa Lulu, kulikuwa na maelezo ya kupika kuwa, Tanzania Loan Society ni taasisi iliyo chini ya Rais Jakaya Kikwete kwa msaada wa Rais wa Marekani Barack Obama huku watendaji wakuu wakiwa ni Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda na Mbunge wa Chalinze, Mhe.
Ridhiwani Kikwete.
Ikadaiwa eti muweka hazina wa taasisi hiyo ni Zainabu Kikwete huku namba zake za simu zikitajwa kuwa ni 0767 602 518 na 0713 009 819, lengo la mpango huo likiwa ni kuhakikisha Watanzania wanaondokana na umaskini kwa kupewa mikopo kwa masharti nafuu.
Chini ya maelezo hayo kuna linki ya kuingia kwenye mtandao wa taasisi hiyo feki (ambapo ukiufungua unakuta nembo ya serikali ya Tanzania na maelezo yanayomshawishi mtu yeyote kuamini kuwa siyo ishu ya kitapeli.
Kinachomsukuma mtu kuingia mtegoni ni kwamba, kwanza wanahusishwa viongozi wakubwa, pili matapeli hao wanaeleza kuwa makao makuu ya taasisi hiyo ni Posta jijini Dar kwenye jengo la Utumishi, ghorofa ya 5, chumba namba 30 na anayehitaji mkopo kuanzia laki moja hadi milioni 50 anatuma 95,000 kupitia namba za muweka hazina (Zainabu Kikwete feki).
Risasi laingia kazini
Baada ya kupatikana kwa taarifa hizo, Septemba 28, mwaka huu, waandishi walianza uchunguzi kwa kuthibitisha kama namba za Zainabu zimesajiwa kwa jina gani ambapo ilionekana imesajiliwa kwa jina la Zainabu Kikwete.

Kisha mwandishi wetu alimpigia Zainabu, alipopokea na kuulizwa kuhusiana na taasisi hiyo alisema ni kweli ipo na maelezo yote yapo kwenye mtandao wao huku akimsisitiza mwandishi kutuma pesa ili atumiwe mkopo.

Waandishi watinga Jengo la Utumishi
Baada ya kujiridhisha, waandishi wetu walimpigia tena Zainabu na kumtaarifu kuwa wapo njiani kuelekea ofisini kwao, kwa kujiamini alisema hakuna shida na kama ni mkopo upo unawasubiria.
Baada ya waandishi wetu kufika kwenye jengo la Utumishi, walimpigia tena simu Zainabu kumjulisha kuwa wameshafika ambapo alidai wametoka kidogo ofisini (eti wameenda kukusanya madeni sugu) na kwamba wakutane kesho yake.
Waandishi wetu wakiwa nje ya jengo hilo, waliongea na mmoja wa walinzi na kumuuliza juu ya uwepo wa taasisi hiyo ambapo alieleza kuwa, haipo na wengi wamekuwa wakifika hapo baada ya kutapeliwa.
Ili kupata taarifa rasmi, waandishi walifika kwenye ofisi ya mmoja wa maafisa habari wa Ofisi ya Rais, Menejimenti na Utumishi wa Umma, Florence Laurence ambaye alikiri taasisi hiyo ya kitapeli kuhusisha jengo lao na walishatoa tahadhari kwa wananchi.
Msako wafanyika
Licha ya majibu yaliyotolewa na afisa habari huyo, waandishi wetu walifika katika Ofisi ya Polisi, Kanda Maalum ya Dar, Kitengo cha Intelijensi na kutoa taarifa ambapo walichukua taarifa kuhusiana na mtandao huo na kuahidi kudili nao.
Septemba 30, mwaka huu ofisi hiyo ilitoa polisi wawili ambao waliongozana na waandishi wetu mpaka katika jengo la Utumishi na mhusika alipopigiwa simu alidai siku hiyo pia walikuwa bize kukusanya madeni sugu na kwamba waende tena kesho yake.
Kutokana na kuchengachenga kwa wahusika, polisi walishauri waachwe wafanye kazi yao na kwamba kwa mbinu zao za kiintelijensia watawanasa wahusika. Uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa, mtandao huu umewaliza wengi hivyo ni vyema watu wakawa makini. - See more at: http://winternews1.blogspot.com/2014/10/utapeli-mzito-wabongo-walizwa-mikopo-ya.html#sthash.tS4H3zTr.dpuf

Stamina aeleza kwanini remix ya ‘Number 1′ ilihit kuliko remix za nyimbo zingine za Bongo




Msanii wa Hip Hop kutoka Morogoro, Resilience ametoa sababu ya nyimbo nyingi za bongo zinazofanyiwa remix kutofanya vizuri hapa nyumbani.

Resilience aliitolea mfano remix ya ‘Number One’ ya Diamond na Davido kwa kudai kuwa msanii huyo alijua timing pamoja na thamani ya msanii aliyefanya naye.

“Diamond remix yake ilifanya vizuri kwasababu kwanza nyimbo ilikuwa hit, pili alijua kucheza na timing kitu ambacho ni cha umuhimu sana,” Resilience aliambia Bongo5. “Na tatu jinsi alivyopandisha thamani ya wimbo huo kwa kufanya kolabo na msanii mkubwa Africa kama Davido. Sasa kwanini isifanye vizuri? Kwahiyo timing, yaani muda wa kutoa hiyo remix. Kwasababu hauwezi kutoka remix kabla haijatoka original version. Unakuta original version imekufa wewe unadhani kufanya remix ndo utairudisha? Umefanya nyimbo ya masikitiko, nyimbo ya masikitiko unaifanyiaje remix, unataka usikitike nini zaidi? Remix nyingi zinakuwa ni nyimbo za party au nyimbo za umimi. Yaani zile nyimbo za kama kutuNishiana na kuoneshana nani zaidi. Kwahiyo tatizo kubwa wasanii wengi wanakosa kujua mambo kama hayo,” alisema Resilience. - See more at: http://winternews1.blogspot.com/2014/10/stamina-aeleza-kwanini-remix-ya-number.html#sthash.5e9Rea4y.dpuf

Jumatano, 1 Oktoba 2014

SENTENSI ALIZOZIONGEA MUME WA LADY JAY DEE, GADNER HABASH KWENYE MKASI!




Mtangazaji Gardner G. Habash ni miongoni mwa Watangazaji hodari ambao Tanzania imewahi kuwa nao ambapo alianza kwa kusikika kupitia CloudsFM kwenye shows mbalimbali ikiwemo Jahazi kabla ya kuanza kazi.Wakati huu ambapo kumekua na stori zilizoenea mtaani kuhusu yeye na ndoa yake pia kazi, show ya TV ya Mkasi inayoongozwa na mtangazaji Salama Jabir imepata nafasi Exclusive ya kuongea nae. Zifuatazo hapa chini ni baadhi ya sentensi alizoziongea Captain G kwenye Mkasi on EATV.
Kwanza alianza kwa kuongelea jinsi alivyoingia kufanya kazi Redioni hukuakimkumbuka Othman Njaidi aliemchukua na kumpeleka CloudsFM sio kama mtangazaji bali akajiunge na timu ya Marketing, akakutanishwa na Ruge Mutahaba aliekua General Manager wakati huo ambae alipoisikia tu lafudhi ya Gardner akasema huyu anafaa kuwa mtangazaji.
Staa aliefurahi baada ya kukutana nae ni D’Banj wa Nigeria, alifurahia uchangamfu wake…

Salama alipomuuliza kuhusu uhodari wake wa kutangaza habari za mastaa wa dunia… Captain G. akasema ‘nilikua nanunua majarida kwenye maduka yanayouza majarida kutoka nje, wakati Internet hamna kulikua na majarida mengi kidogo’

‘Mimi ni mchaga kabisa wa Baba na Mama lakini Wazazi wangu walihamia Tanga zamani alafu mimi nimezaliwa Ngamiani pale Hospitali na tukaishi Chumbageni muda mrefu kwa hiyo nilipata lafudhi ya Tanga pale, na hiyohiyo lafudhi ya Tanga ndio iliyonipa kazi kwenye Radio’

Salama akamuuliza ‘Unajisikiaje ukisikia mtu anatangaza kama wewe‘ >> Gardner akajibu ‘kuna baadhi ya watu kusema ukweli wanachukizwa sana na hicho kitu na wananilalamikia sana kwamba kuna Watangazaji wengi wamekua wanakuiga kwenye kutangaza Redioni na kwenye kutengeneza jingle kama za kwako lakini mimi nimeiona ni baraka kwangu, kama watu wamekupenda kiasi kwamba wanakuiga ni jambo la kufurahisha kwangu mimi linanifurahisha sana’

Kuhusu kitu kilichomfanya akaondoka kwenye Radio, Captain amesema ‘Nilifanya kazi miaka 9 akili ikawa imechoka nikafikiria lazima pia nifanye biashara watu wanakusifia kwamba una uhodari flani kwa hiyo unajipa challenge kwanini nisitengeneze kitu changu, ndio tukafungua biashara za chakula lakini zaidi nilikua nataka kupumzika’

Swali jingine kutoka kwa Salama likawa ‘nasikia kuna stori kwamba hivi karibuni pia unaweza kurudi kule ama ukaenda sehemu nyingine‘ Captain G. akajibu >>> ‘ni mmoja kati ya hao wawili, stori ni ya ukweli ndio maana naondoka, nimemaliza mkataba nimepata ofa nyingine kubwa naichukua’

Swali jingine lililokua linasubiriwa ni hili alilouliza Salama >> ‘kuna stori mtaani kwamba wewe na Lady Jaydee mmeachana’ Gardner akajibu ‘mimi sijawahi kupata interview muda mrefu sana… nadhani hii inaweza kuwa interview yangu ya kwanza, kwahiyo nilikua nataka nikuombe tuongee kuhusu mimi kwanza manake tukizungumzia kuhusu JayDee nitafunikwa hapa’ - See more at: http://winternews1.blogspot.com/2014/10/sentensi-alizoziongea-mume-wa-lady-jay.html#sthash.7CEaFao4.dpuf

DIAMOND AMTAJA MWIMBAJI KUTOKA TANZANIA ANAYEMKUBALI








Diamond Platnumz amemtaja Vanessa Mdee kama muimbaji anayemkubali zaidi na ambaye anaona atafika mbali zaidi.Akiongea , Diamond amesema hata jukwaani, Vanessa ni msanii anayejituma sana.

“Unajua wasanii wa kike wote wa hapa nyumbani ninawakubali ila namkubali sana Vanessa. Na hata nikikutana naye huwa namwambia kuwa ‘Vanessa unanipa imani sana kuwa tuna mwanamuziki wa kikeambaye naona kabisa anabadilika kila siku na anajituma sana hata akiwa kwenye stage’. Unaona kabisa ana juhudi zaidi maana Vanessa alikuwa akiimba kizungu sana lakini kila siku zinavyoenda anabadilika na anaelewa nini anafanya sio mtu wa kujitoa fahamu,” alisema.

“Kwahiyo nina imani ipo siku tutaona msanii wa kike kutoka Tanzania anafanya vizuri. Kwahiyo Vanessa namkubali sana na nina imani atafika mbali, ni mfano mzuri sana pia na kwa wengine kujituma zaidi na kuwa wabunifu wa kazi - See more at: http://winternews1.blogspot.com/2014/10/diamond-amtaja-mwimbaji-kutoka-tanzania.html#sthash.CDSJjKPE.dpufa

Watu 270 walazwa kwa kunywa togwa







Songea. Watu zaidi ya 270 wa Kijiji cha Litapwasi, Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma wamelazwa wengi wao wakiwa na hali mbaya katika Zahanati ya Lyangweni na Hospitali ya Misheni ya St Joseph, Peramiho baada ya kunywa togwa inayosadikiwa kuwa na sumu.

Tukio hilo lilitokea juzi mchana kwenye sherehe ya Kipaimara kwa mtoto Dickson Nungu (14) na kuzua hofu kubwa kwa wakazi wa kijiji hicho ambao wanaonekana kutoamini kilichotokea.

Wingi wa wagonjwa hao umesababisha zahanati hiyo kuelemewa na kiasi cha wengine kulazwa chini kwenye udongo, barazani na kwenye miembe wakisubiri kupatiwa huduma ya kwanza.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Mihayo Mskhiela alisema polisi inawashikilia watu watatu kuhusiana na tukio hilo na vinywaji na mabaki ya chakula kilicholiwa vimezuiliwa huku sehemu ikichukuliwa sampuli ili kupelekwa kwa Mkemia Mkuu kwa uchunguzi zaidi.

Alisema waliopatiwa matibabu na kuruhusiwa ni watu 50 huku 190 wakiwa bado wanatibiwa Lyangweni na wengine 30 wakilazwa Peramiho. Hata hivyo, Kamanda Mshkhiela alisema walioathirika wanaendelea kuongezeka.

Mtoto Nungu, ambaye ni mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Litapwasi, alipata Kipaimara hicho na mara baada ya chakula cha mchana, waalikwa walipewa pombe za kienyeji na wengine togwa. Baada ya muda mfupi, waliokunywa togwa na chakula, kila mmoja kwa wakati wake alianza kujisikia maumivu ya tumbo na kuharisha mfululizo huku wengine wakitapika damu.

Mama mzazi wa kijana huyo, Philbeta Ngonyani (36), ambaye pia amelazwa katika Hospitali ya Misheni Peramiho alisema: “Nimefikishwa hospitalini jana (juzi) saa nane usiku nikiwa sijitambui kutokana na maumivu makali kwa kuharisha mfululizo baada ya kunywa togwa.”

Akielezea tukio hilo alisema, anakumbuka siku moja kabla ya tukio, (Jumamosi iliyopita) yeye na wenzake (majirani) walishirikiana kupika togwa na walianza kazi hiyo saa sita adhuhuri na kumaliza saa 10 jioni na kisha kuiweka katika chumba kimoja ili ipoe kisha walimkabidhi ufunguo wa chumba hicho mtu aliyemtaja kuwa ni jirani yao, Ridhiwan Shawa ili siku ya sherehe mtu atakayehitaji kinywaji ampatie.

Alisema, juzi mchana mara baada ya mwanaye kutoka kanisani, waalikwa walifika nyumbani kwake wakiwa na watoto wao na baadhi ya ndugu na jamaa zao kwa ajili ya kujumuika kumpongeza kijana huyo na vyakula mbalimbali vilipikwa kama wali, pilau na ugali.

Alisema mara baada ya kula, vinywaji vilitolewa na kijana wake na baadhi ya watu walipatiwa soda na wengine waliomba pombe za kienyeji na togwa. “Waliokunywa pombe na soda hawakudhurika lakini waliokunywa togwa wengi walianza kusikia maumivu ya tumbo na kuanza kuharisha na kutapika mfululizo na wengine kuharisha damu, baadhi walirudi nyumbani na wengine walikimbilia zahanati.”

Alisema yeye, mumewe Ines Nungu pamoja na kijana wao mwingine, Matson wanaumwa tumbo, kuharisha na kutapika.

Jirani ambaye pia amelazwa, Aloysia Ngonyani alisema alifikishwa hospitalini hapo juzi usiku wa saa saba akiwa na maumivu makali ya tumbo huku akihara na kutapika baada ya kunywa togwa. - See more at: http://winternews1.blogspot.com/2014/10/watu-270-walazwa-kwa-kunywa-togwa.html#sthash.K0Vsy2nI.dpuf

SHEHE: AUNT EZEKIEL HANA NDOA







Stori: Gladness Mallya na Chande Abdallah
SHEIKH Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa ameweka wazi kuwa msanii nyota wa filamu, Aunt Ezekiel ambaye aliolewa na Sunday Demonte hana ndoa kutokana na kukaa mbali na mumewe kwa zaidi ya miezi sita.






Sheikh Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa akizungumza jambo.


“Hakuna ndoa kati ya mtu yeyote ambaye amezidi miezi 6 bila kukutana na mumewe kwa mujibu wa dini ya kiislamu.


“Kwa kawaida mwanamke ambaye hajakutana na mumewe kwa miezi 6 au zaidi baada ya ndoa yao, hupaswa kwenda mara moja Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) kulalamika na hatimaye kudai talaka, ikiwa mwanamke ameridhika na hali hiyo, naye akaamua kukaa kimya huku akifanya mambo yake na kuanzisha uhusiano na wanaume wengine maana yake amejitoa mwenyewe kwenye mamlaka ya mumewe, hivyo hapo kunakuwa hakuna ndoa tena,”alisema Shehe. - See more at: http://winternews1.blogspot.com/2014/10/shehe-aunt-ezekiel-hana-ndoa.html#sthash.DhVzDL7T.dpuf

HABARI NJEMA ARSENAL, WILSHERE AREJEA MAZOEZINI THE GUNNERS AKIWA SWAAFI KABISA






Jack Wilshere akiwa mazoezini Arsenal Uwanja wa Colney mjini London




KIUNGO Jack Wilshere amerejea mazoezini Arsenal leo asubuhi baada ya kupona maumivu aliyoyapata wiki iliyopita.
Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger alikuwa kwenye janga la viungo wake kuuima kwa Aaron Ramsey, Mikel Arteta na Wilshere wote kuumia kwenye mechi na Tottenham Jumamosi.
Wilshere aliumia enka na kulikuwa kuna wasiwasi amepata madhara makubwa katika sehemu ambayo imekuwa tatizo la muda mrefu kwake.
Wenger amesema: "Jack Wilshere yuko kikosini kwa ajili ya mechi ya kesho, tutamuanzisha? bado sijajua, lakini yuko kikosini.
"Tuliwapoteza Mikel Arteta na Aaron Ramsey kwenye mechi yetu iliyopita na wangekuwa watatu, kwa sababu Wilshere alikuwa shakani kwa muda mrefu, lakini amepona haraka,".



Lakini kiungo huyo wa England amerejea na kuonekana akiwa vizuri wakati akifanya mazoezi na Arsenal viwanja vya mazoezi vya timu hiyo, Colney.
Wilshere alikuwa miongoni mwa wachezaji waliowahi mazoezini leo akipigiana mipira na Alexis Sanchez, Mathieu Flamini na Francis Coquelin.
Kisha kikosi cha wachezaji 18 kwa ajili ya mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Galatasaray kikaanza kukimbizwa na kocha wa mazoezi ya nguvu Shad Forsythe, Mmarekani aliyechukuliwa kutoka kikosi cha Ujerumani kilichotwaa Kombe la Dunia.
Theo Walcott aliibuka baadaye zaidi ya wachezaji wengine wote na kufanya mazoezi mepesi peke yake akijiandaa kurejea uwanjani, baada ya winga huyo kukosekana tangu Januari 4, alipoumia dhidi ya Tottenham kwenye Kombe la FA. - See more at: http://winternews1.blogspot.com/2014/10/habari-njema-arsenal-wilshere-arejea.html#sthash.xGih4Olm.dpuf

Ajali ya gari Mbeya yaua watu watano wa ukoo mmoja






“Baada ya ajali ile baba, mama na watoto wawili walifariki dunia papo hapo, lakini mkuu wa chuo ambaye pia ni ndugu wa marehemu hao na mtoto wake wa darasa la pili walijeruhiwa.




Mbeya. Watu watano wa ukoo mmoja wamefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea Songwe, jirani na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe (Sia), Wilaya ya Mbeya Vijijini baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana na lori usiku.

Katika ajali hiyo iliyotokea mwishoni mwa wiki iliyopita, watu wanne walifariki dunia papohapo, huku Mkuu wa Chuo cha Ualimu cha St. Aggrey, Tawi la Mbeya, Sterwat Danda akifariki dunia wakati akipatiwa matibabu Hospitali ya Rufaa ya Mbeya.

Akizungumza na gazeti hili, wakati wa kuaga mwili wa marehemu aliyekuwa mkuu wa chuo hicho jana, mmoja wa wakurugenzi wa Taasisi ya St. Aggrey, George Mwambusi alisema ajali hiyo ilihusisha baba, mama na watoto wake wawili wakati wakitokea wilayani Mbozi kuja Mbeya mjini.

“Baada ya ajali ile baba, mama na watoto wawili walifariki dunia papo hapo, lakini mkuu wa chuo ambaye pia ni ndugu wa marehemu hao na mtoto wake wa darasa la pili walijeruhiwa. Baadaye mwalimu huyo alifariki dunia wakati mtoto wake anayesoma darasa la pili bado anaendelea na matibabu,” alisema Mwambusi.

Hata hivyo, Mwambusi alishindwa kuwataja majina wanafamilia waliofariki dunia, lakini akasema walikuwa wageni wa mkuu wa chuo hicho na kwamba walikwenda Mbozi kusalimia.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi alithibitisha kutokea ajali hiyo na kwamba majina ya marehemu wote yalikuwapo ofisini kwake, lakini yeye alikuwa msibani.

Habari kutoka eneo la Chuo cha St Aggrey zilidai kuwa kabla ya tukio hilo, mkuu huyo wa chuo alipata ugeni wa ndugu zake, akiwamo aliyekuwa baba yake mdogo kutoka kijijini kwao, Ilembula Mkoa wa Njombe na walimtaka awasindikize Mbozi kumtembelea mtoto wao anayefanya kazi huko. - See more at: http://winternews1.blogspot.com/2014/10/ajali-ya-gari-mbeya-yaua-watu-watano-wa.html#sthash.oO3irhr4.dpuf

Jumanne, 30 Septemba 2014

Jumatano, 10 Septemba 2014

PENNY SASA AMEPATA MBADALA WA DIAMOND

WANAFUNZI WAPIGA PICHA ZA UCHI Mdadisi Huru PICHA ZA UCHI


Jumatatu, 8 Septemba 2014

MREMBO AJIREKODI VIDEO AKIWA UCHI AKIPIGA PUNYETO KISHA KUPOSTI PICHA ZAKE ZA UCHI INSTAGRAM!


Baada ya ukimya wa muda mchache, msanii wa Injili aliye amua kumrudia shetani awapa mashabiki wake picha nyingine za utupu, angalia mzigo mpya alioutupia Instagram hapa.


PICHA ZA UCHI ZA MKE WA MTU ALIYEVUA NGUO MBELE ZA WATU BAADA YA KUNOGEWA NA MUZIKI



Pichani juu na chini mwanamke mmoja aliyetajwa kwa jina la Mama Abdul akijiachia na kumwaga radhi bila uoga.
Ovyooo! Wakati serikali ikipiga marufuku disko la mitaani maarufu kwa jina la ‘Vigodoro’ bado kuna baadhi ya mikoa inapuuza agizo hilo ambapo mwanamke mmoja ambaye mumewe anafanya kazi kwenye mgahawa uliopo ofisi za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani hapa, aliyetajwa kwa jina la Mama Abdul (pichani), amejitoa fahamu kupitia Kigodoro na kujikuta akisaula nguo hadharani.
Tukio hilo lililoshuhudiwa na mwanahabari wetu lilijiri juzikati, majira ya mchana kwenye kigodoro mbele ya watoto waliopokea ekaristi takatifu katika Kanisa la Mtakatifu Monica lililopo maeneo ya Kihonda mkoani hapa.
Mke wa mtu, Mama Abdul akiwa na rafiki yake.
Mke huyo wa mtu alimwaga ‘lazi’ hizo kwa kushirikiana na mdogo wake wa damu aliyefahamika kwa jina moja la Jacqueline wakati wakimpongeza mtoto wa rafiki yao aliyepokea ekaristi.




“Unajua walikuwa wanatumia kigezo cha ‘ananijua nani pande hizi’ kumbe wanajishushia heshima na shughuli yenyewe ni ya kikanisa,” alisema mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo la aibu.BOFYA HAPO CHINI KUONA ALIVYOVUA NGUO

SAD NEWS: [PICHAZ] ASKARI POLISI AFARIKI KIUTATA!

Na Suzy Baltazar
"Huyu anaitwa Afande John kapata ajali mbaya mpaka kufariki maeneo yaKisarawe huyo yupo pale myfair TRA upande wa leseni za magari (Driving licence) pole kwa jeshi la polisi pia na familia mwenyezi mungu ailaze roho yake pema peponi Amen. Ni kipenzi cha wengi. Taarifa zaidi zitawajia hivi punde, endelea kufuatilia hapa...!

WANAWAKE WA NAMNA HII SIO WA KUOA

Ukiona umemtumia mpenzi wako/mchumba wako/mchepuko wako/mke wako au hata rafiki wa kike wakati mwingine SMS ya kawaida tu kwaajili ya kumsalimia lakini yeye akakujibu moja kati ya majibu yafuatayo, tafadhali sana usiendelee kuchat nae maana kinachofuata hapo ni majanga tu.
KWA MFANO: 1. Ukimtumia sms ''Mambo mpenzi wangu?'' akikujibu ''mambo mabaya'', usimuulize kwanini mambo mabaya, ukimuuliza atakwambia kuwa ''sina hela dear''
2. Ukimtumia sms ''Maisha yanasemaje kipenzi changu'' akikujibu ''maisha magumu hubby wangu we acha tu'' usimuulize kwanini, ukimuuliza kwanini atakwambia ''nimefulia mwenzio kama nini sijui''
3. Ukimtumia sms ''Mbona kimya sana mchumba wangu, umenitupa kiasi hicho'' akikujibu ''sijakutupa wangu yaani mambo hata hayaendi'' usimuulize kwanini mambo hayaendi, ukimuuliza atakwambia kuwa ''yaani sina kitu mpenzi wangu, simu ilikuwa haina hata hela ya kubeep''
4. Au ukiona mwanamke anaanza kwa kukwambia nikwambie kitu? We mkatalie kiutani utani tu, mwambie usiniambie, hata akikomaa vipi akwambie mwambie sitaki uniambie huku unafanya kama utani lakini moyoni unakuwa upo serious.
Ni mara chache sana mwanamke akikwambia kuwa mambo mabaya, maisha magumu au mambo hayaendi huwa na matatizo mengine kama kuumwa, misiba.... n.k lakini THE REST ni wapigaji mizinga tu. Akikwambia maisha magumu mjibu ''pole wangu, mambo mengine vipi?'' Ukipewa majibu kama hayo, chagua moja, either usiendelee kuchat nae mpaka badae kidogo au mbadilishie maada ili kukwepa huo mzinga ambao unakuja mbele yako