Baada
ya tuzo za BET Davido alielekea Rwanda ambapo alienda kufanya show
kwenye jukwaa moja na wasanii wa nchini Rwanda. Show ilifanyika kwenye
uwanja wa mpira na kuingiza watu zaidi ya 60,000. Hizi ni picha za
Davido akiwa jukwaani.
Jumamosi, 5 Julai 2014
Unazikubali show za Davido? Cheki picha zake alivyofanya show ndani ya Rwanda.
20:07
No comments
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 comments:
Chapisha Maoni