Najua
mashabiki walikua wanaisubiria sana hii post ambapo good news zaidi ni
kwamba Ali Kiba ameachia single mbili mpya kwa wakati mmoja na moja
inaitwa “Mwana” na nyingine “Kimasomaso”.
Tunamfahamu staa huyu kama mkali wa hit single kama Cinderella,
Mapenzi yanarun dunia, Single boy, na Dushelele lakini unaambiwa
Cinderela ndio wimbo mwingine ambao mpaka sasa una rekodi ya kuuza copy
nyingi Afrika Mashariki mwaka 2008.
Sehemu ya mafanikio yake mengine ni pamoja na kushinda tuzo mwaka
2012 best Rhumba/ Zouk ya “Dushelele” kwenye tuzo za Kilimanjaro
Tanzania Music Awards. (KTMA).
Kuhusu hizi nyimbo mbili mpya, unaweza kuzisikiliza kwa kudownload
bure na kwa njia rahisi kupitia hapa kwenye hizi link hapa chini www.mkito.com
Kudownload ni rahisi, ukibonyeza download utaletewa sehemu ndogo ya
kuchagua kuingia kwa facebook au google, chagua moja wapo alafu
ujichukulie wimbo wako mtu wangu
<<< PLAY HAPA>>>
Alhamisi, 24 Julai 2014
Mabibi na mabwana! huu ndio ujio mpya wa Ali Kiba na single zake mbili mpya ziko hapa
14:10
No comments
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 comments:
Chapisha Maoni