Kutoka
nyumbani kwa marehemu Mzee Small Tabata Kimanga taratibu za mazishi
mpaka sasa familia imepanga mazishi yatafanyika kwenye makaburi ya
Segerea kesho saa 10 jioni. Mahmood
mtoto wa nne wa Maraehemu Mzee Small amesema kuwa kesho wanategemea
mwili kuuleta nyumbani kisha taratibu zote zitafanyika nyumbani ikiwepo
dua ya kumuombea,chanzo cha kifo ni baada ya citiscan ni kwamba damu
ilivilia kichwani.
Hospitali alipelekwa Asubuhi ya June 07 kisha saa 4 na dakika 9 usiku wa June 7 Mzee Small alifariki dunia
0 comments:
Chapisha Maoni