Masanja Mkandamizaji si jina geni masikioni mwa watu wengi kutokana na uwezo wake wa kuwavunja mbavu watazamaji pale anapoonekana katika runinga na Kundi la Original Comedy.
Wakati
anaanza maisha masanja alikua akikaa kwenye ‘geto’ lake maeneo ya
Tabata Aroma huku akilipa kodi ya TSh. 5,000 kwa mwezi lakini hii leo
masanja anamiliki nyumba mbil iza ukweli huku moja ikiwa ni ya ghorofa
maeneo hayohayo ya Tabata na pia anamiliki magari kama Toyota Land Cruiser V8 ma mengine.






0 comments:
Chapisha Maoni