.

Jumatatu, 19 Mei 2014

DIAMOND AZIDI KUKIMBIZA KATIKA TUZO ZA BET...KWELI "THIS IS DIAMOND" CHEKI HAPA



Msanii wa muziki wa Bongo Flava kutoka Tanzania Diamond Platnumz, amekuwa akiwakimbiza katika upigiwaji wa kura kuwania tuzo za Muziki wa Televisheni ya Watu Weusi Marekani (Black Entertainment Television-BET) katika kipengele cha Best International Act: Africa. Tuzo hizo zitatolewa jijini Los Angeles, Marekani Juni 29, 2014.
Mpaka jioni hii, Mei 19, Diamond anaongoza kwa asilimia 75.79 akiwa amewaacha wengine nyuma sana.



0 comments:

Chapisha Maoni