Stori: Emelder Tarimo
WHY? Mwigizaji mwenye sura ya upole, Riyama Ally amezua utata akidaiwa kumshushia varangati rafiki yake kipenzi, Prodyuza Emmanuel Sewando ‘Manecky’ baada ya kumkuta akiponda raha na mwanamke hotelini.
Mwigizaji
wa Bongo Muvi, Riyama Ally. Ilielezwa kuwa tukio hilo lilitokea
juzikati kwenye hoteli moja iliyopo Kijitonyama, Dar ambapo mastaa wengi
huenda kuogelea lakini Riyama hakufurahishwa na kitendo hicho cha
Manecky kuwa na mwanamke, akalianzisha.
Prodyuza Emmanuel Sewando ‘Manecky’. Alipotafutwa Riyama alisema: “No Comment.” Lakini kwa upande wake Manecky, alisema:
“Wananipakazia jamani sikuwa mimi hiyo sehemu bali kuna mtu wamenifananisha naye.”
Wawili hao wamekuwa wakitajwa kuwa wanatoka lakini wenyewe wamekuwa wakikanusha.
WHY? Mwigizaji mwenye sura ya upole, Riyama Ally amezua utata akidaiwa kumshushia varangati rafiki yake kipenzi, Prodyuza Emmanuel Sewando ‘Manecky’ baada ya kumkuta akiponda raha na mwanamke hotelini.


“Wananipakazia jamani sikuwa mimi hiyo sehemu bali kuna mtu wamenifananisha naye.”
Wawili hao wamekuwa wakitajwa kuwa wanatoka lakini wenyewe wamekuwa wakikanusha.
0 comments:
Chapisha Maoni