
Mwanamke anayejiamini huonekana wa Tofauti katikati ya wanawake wengi...
Silaha pekee kubwa anayopaswa kuivaa mwanamke yoyote .Mwanaume
anapoangalia Sifa za nani anapaswa kuwa ubavu wake anaangalia kwanza
Sifa Hii...Utashangaa wenzio wote wanawezaje na wewe unashindwa
nini,Jibu ndio hilo
Makalio Makubwa bila Confidence ni sawa na Al Shabaab bila
Silaha...Inashangaza mwanamke na akili zake anapoteza muda,anajivunia
Shape,''Oh nimebarikiwa,Nimejazia,Nna shape ya Ukwee' wakati kichwani
zero ana akili za moto kama uji wa ulezi
Hayo Makalio zaidi ya kukalia makochi yangu na kuyazeesha Mapema kwa
uzito usio na Maana kuna lipi la zaidi yataniongezea kwenye maisha yangu
Labda kama nna mpango wa kufungua bendi ya Baikoko nyumbani kwangu.
Only Cheap girls hukazana kuonyesha jinsi gani Makalio ni dili na
kuyatumia kama Kigezo cha kukamata Wanaume Cheap.Mwanaume anayekuwa
moved na Mwanamke mwenye Makalio makubwa kama Kigezo pekee lazima akili
yake ina ujauzito wa miezi 10 na lazima azae Kibwengo.
Jumatano, 6 Agosti 2014
KUNA SIRI GANI KATIKA MAKALIO YA WADADA WA MJINI? KILA WAKIPIGA PICHA LAZIMA WAYABINUE
04:55
No comments
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)






0 comments:
Chapisha Maoni