Staa wa Bongo Fleva,Linex Sunday Mjeda hivi karibuni
ataandika historia kwa kutambulisha video ya ngoma yake “wema kwa ubaya”
katika ukumbi flani na tukio hilo kuonyeshwa live kwenye tv station
mbili nchini Tanzania, na katika ngoma hiyo itaskika sauti ya mbunge wa
Kigoma Kaskazini, Mheshimiwa Zito Kabwe.
Kwa
mara ya kwanza pia linex ameweka rekodi kwa kumlipa mkwanja mrefu
director Adam Juma next lavel ambaye hivi karibuni aliwahi kufunguka
kuwa tangu aanze kazi yake hajawahi kulipwa zaidi ya milioni tatu na
nusu, sasa linex amedai amevunja rekori hiyo.
Jumatano, 6 Agosti 2014
Beranda » Tanpa Label » DUH! ZITTO KABWE AANZA KUIMBA BONGO FLEVA!!!!! Apewa featuring ktk wimbo wa Linex. Ni shidah ingia hapa ushangae. DUH! ZITTO KABWE AANZA KUIMBA BONGO FLEVA!!!!! Apewa featuring ktk wimbo wa Linex. Ni shidah ingia hapa ushangae.
05:12
No comments
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 comments:
Chapisha Maoni