.

Ijumaa, 1 Agosti 2014

Batuli Atoa ya Moyoni 'Nasaka Mwenye Pesa Atakaye Kuwa Tayari Kunilipia Ada ya Kusemea Uhudumu wa Ndani ya Ndege'





Haya Sasa Mrembo wa Haja Tuko Tasnia ya Bongo movies Hapa Tanzania Amejitokeza na Kusema anatafuta mtu Mwenye Pesa atakaye kuwa Tayari Kumsomesha Chuo cha Kujifunza Uhudumu wa Ndani ya Ndege ama Urubani Kwani Anatamani sana kazi Hizo mbili sema Gharama za Ada ndio zina mtatiza kwani ni kubwa Mno....

0 comments:

Chapisha Maoni