Imeripotiwa
watu 8 wamejeruhiwa mmoja akiwa mahututi baada ya kutokea mlipuko
kwenye mgahawa akiwa hali mahututi kufuatia mlipuko katika mgahawa mmoja
uliopo eneo la GymKhana jijini Arusha.
Mlipuko huo umetokea Jioni ya July 07 chanzo cha mlipuko huo bado
hakijafahamika,ingawa kwa sasa Jeshi la polisi linawashikilia watu
wawili wakihusishwa na mlipuko huo,chochote kinachoendelea nitakuwa
nakufahamisha mtu wangu wa nguvu.
Watu hao 8 wengi wao ni watu wanaosemekena kuwa na asili ya Asia
Jumanne, 8 Julai 2014
Kuhusu Bomu lililolipuka Arusha,hawa ndiyo waliokamatwa mpaka sasa.
08:52
No comments
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)






0 comments:
Chapisha Maoni