.

Jumamosi, 17 Mei 2014

Picha: Diamond aondoka nchini kurejea London kwenye show nyingine leo (May 17)







LONDON!!! LONDON!!! LONDON!!! I thout i told ya … see you in a bit -Diamond
Platnumz aliingia nchini jana Ijumaa (May 16) akitokea Uingereza kama alivyoahidi na kuhudhuria show ya MTV Africa Road to MAMA iliyofanyika Club Billicanas usiku wa kuamkia leo. Akiwa London Platnumz aliahidi kurejea nchini kwaajili ya tukio hilo muhimu, akiwa kama nominee wa tuzo za MTV Africa (MAMA).
Platnumz ameshare picha akiwa uwanja wa ndege alipokuwa akijiandaa kucheck in mida ya saa 9 alfajiri.
 

0 comments:

Chapisha Maoni